Madaktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam, wakimwingiza kwenye gari la wagonjwa Mwenyekiti wa Jumuia ya Madaktari Tanzania, Steven Ulimboka, kumpeleka kwenye Taasisi ya Mifupa (MOI) baada ya kufikishwa hospitali hapo leo, baada ya kujeruhiwa vibaya kwa kudaiwa kupigwa na watu wasiojulikana, waliomteka usiku wa kuamkia leo, katika eneo la Mabwepande.
Latricia Ian Ndiye Malkia wa Tanzania 2026
-
Latricia Ian ameibuka mshindi wa *Miss World Tanzania 2026* akibeba
mchanganyiko wa adabu, akili iliyopevuka, na kiu ya dhati ya kuacha alama
kwenye ...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment