Madaktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam, wakimwingiza kwenye gari la wagonjwa Mwenyekiti wa Jumuia ya Madaktari Tanzania, Steven Ulimboka, kumpeleka kwenye Taasisi ya Mifupa (MOI) baada ya kufikishwa hospitali hapo leo, baada ya kujeruhiwa vibaya kwa kudaiwa kupigwa na watu wasiojulikana, waliomteka usiku wa kuamkia leo, katika eneo la Mabwepande.
MAKATIBU WAKUU VYAMA VYA UKOMBOZI WAJADILI HALI YA KISIASA KUSINI MWA AFRIKA
-
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza Kikao cha 12 cha Makatibu Wakuu wa
Vyama vya Ukombozi Kusini mwa Afrika, ambapo, pamoja na mambo mengine,
vimejadili...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment