Madaktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam, wakimwingiza kwenye gari la wagonjwa Mwenyekiti wa Jumuia ya Madaktari Tanzania, Steven Ulimboka, kumpeleka kwenye Taasisi ya Mifupa (MOI) baada ya kufikishwa hospitali hapo leo, baada ya kujeruhiwa vibaya kwa kudaiwa kupigwa na watu wasiojulikana, waliomteka usiku wa kuamkia leo, katika eneo la Mabwepande.
RAIS SAMIA ATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMIVU YA HESHIMA RUDN, URUSI LEO
-
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Shahada ya Uzamivu ya Heshima (Honoris
Causa) aliyotunukiwa na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi- (RUD...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment