Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Ureno Christiano Ronaldo, akisikitika baada ya timu yake kutolewa katika hatua ya nusu fainali na Spaii na mikwaju ya Penati 4-2 katika mchezo uliochezwa jana usiku, baada ya timu hizo kwenda sare ya bila kufungana hadi dakika za ziada.
WADAU TIBA ASILI,AFYA NA MAZINGIRA WASHAURIWA KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Na Mwandishi Wetu
WADAU wote wa Tiba Asili, Afya na Mazingira nchini Tanzania wameshauriwa
kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali, mashirika na jamii k...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment