Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Ureno Christiano Ronaldo, akisikitika baada ya timu yake kutolewa katika hatua ya nusu fainali na Spaii na mikwaju ya Penati 4-2 katika mchezo uliochezwa jana usiku, baada ya timu hizo kwenda sare ya bila kufungana hadi dakika za ziada.
PROF. CAROLYNE NOMBO ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA KAMPASI YA MZUMBE TANGA
-
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo
ametembelea eneo la ujenzi wa Kampasi mpya ya Chuo iliyopo Wilaya ya Mkinga
mkoani...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment