Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Ureno Christiano Ronaldo, akisikitika baada ya timu yake kutolewa katika hatua ya nusu fainali na Spaii na mikwaju ya Penati 4-2 katika mchezo uliochezwa jana usiku, baada ya timu hizo kwenda sare ya bila kufungana hadi dakika za ziada.
SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA MIFUMO KUDHIBITI MAGONJWA ADIMU
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, imesema itaendelea kuimarisha mifumo ya
huduma za afya kupitia tafiti mbalimbali ili kuhaki...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment