Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Ureno Christiano Ronaldo, akisikitika baada ya timu yake kutolewa katika hatua ya nusu fainali na Spaii na mikwaju ya Penati 4-2 katika mchezo uliochezwa jana usiku, baada ya timu hizo kwenda sare ya bila kufungana hadi dakika za ziada.
NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA TAALUMA YA UHASIBU KWA WANAFUNZI WA CHUO
KIKUU CHA MZUMBE
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu na mafunzo kwa vyuo vikuu pamoja na shule za sekondari ikiwa na ...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment