Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Ureno Christiano Ronaldo, akisikitika baada ya timu yake kutolewa katika hatua ya nusu fainali na Spaii na mikwaju ya Penati 4-2 katika mchezo uliochezwa jana usiku, baada ya timu hizo kwenda sare ya bila kufungana hadi dakika za ziada.
SERIKALI YARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA NHIF KUELEKEA AFCON
-
*Serikali imeutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kujipanga
kikamilifu katika maandalizi ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika
(AFCON) 2027...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment