Miongoni mwa mambo na mapendekezo aliyoyataja Kocha huyu mpya anayekuja kukisuka kikosi cha Wanajangwani, Maximo, ni pamoja na kuwahitaji baadhi ya wachezaji katika kikosi chake akiwamo Mrisho Ngasa na wengineo. Kocha huyo anatarajia kuwasili nchini siku ya jumatano kwa ajili ya kukamilisha taratibu zote zilizosalia za kusaini mkataba wa kuifundisha timu ya Yanga.
MNADA WA MADINI YA VITO WAONGEZA UWAZI NA KUDHIBITI UTOROSHAJI NCHINI
-
Arusha, Novemba 27, 2025
Sekta ya madini inaendelea kunufaika na mageuzi ya kidijitali, baada ya
mfumo wa mnada wa madini ya vito kupitia Soko la Bidhaa Ta...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment