Miongoni mwa mambo na mapendekezo aliyoyataja Kocha huyu mpya anayekuja kukisuka kikosi cha Wanajangwani, Maximo, ni pamoja na kuwahitaji baadhi ya wachezaji katika kikosi chake akiwamo Mrisho Ngasa na wengineo. Kocha huyo anatarajia kuwasili nchini siku ya jumatano kwa ajili ya kukamilisha taratibu zote zilizosalia za kusaini mkataba wa kuifundisha timu ya Yanga.
DET YAFANYA MKUTANO WA BIASHARA YA UTALII DAR ES salaam
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
IDARA ya Uchumi na Utalii ya Dubai (DET) imefanya mkutano wake wa kila
mwaka wa biashara ya utalii jijini Dar es Salaam, u...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment