Miongoni mwa mambo na mapendekezo aliyoyataja Kocha huyu mpya anayekuja kukisuka kikosi cha Wanajangwani, Maximo, ni pamoja na kuwahitaji baadhi ya wachezaji katika kikosi chake akiwamo Mrisho Ngasa na wengineo. Kocha huyo anatarajia kuwasili nchini siku ya jumatano kwa ajili ya kukamilisha taratibu zote zilizosalia za kusaini mkataba wa kuifundisha timu ya Yanga.
Access Bank Tanzania Yakamilisha Ununuzi wa Kitengo cha Huduma za Wateja
Binafsi, Wafanyabiashara na Biashara wa Kati wa Benki ya Standard Chartered
-
Benki ya Access Tanzania yapanua huduma zake nchini, yaimarisha huduma za
kibinafsi na biashara, na kuchochea ujumuishaji wa kifedha kwa Watanzania
wote....
1 hour ago
No comments:
Post a Comment