Miongoni mwa mambo na mapendekezo aliyoyataja Kocha huyu mpya anayekuja kukisuka kikosi cha Wanajangwani, Maximo, ni pamoja na kuwahitaji baadhi ya wachezaji katika kikosi chake akiwamo Mrisho Ngasa na wengineo. Kocha huyo anatarajia kuwasili nchini siku ya jumatano kwa ajili ya kukamilisha taratibu zote zilizosalia za kusaini mkataba wa kuifundisha timu ya Yanga.
THTU YATAKA MABORESHO YA UTAWALA BORA KUFANIKISHA DIRA 2050
-
*Na Mwandishi wetu, Dodoma*
*Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU) kimeitaka
Serikali kuimarisha utawala bora na mifumo ya ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment