TRA wamekuwa wakipita katika mitaa kadhaa ya jijini Dar es Salaam, na kuwakamata wenye maduka ama ofisi zenye maandishi yanayotambulisha ofisi au kazi zinazofanya na ofisi ama bidhaa zinazopatikana katika maduka na kuwataka walipie kodi wakidai kuwa kila neno moja hulipiwa. Jambo hilo limewafanya baadhi ya wenye maduka na ofisi kuondoa na kufuta maandishi na majina ya maduka ama ofisi kwa kuepuka kukamatwa na kutozwa faini kama ambavyo wamekuwa wakielezwa na WanaTRA. Je kwa tangazo kama hili vipi watamdai nani? ama kwa vile limewekwa pasipo na ofisi ndiyo maana hadi leo lipo??
MGOMBEA UDIWANI KATA YA MJINI SONGEA, MATHEW NGALIMANAYO AOMBA RIDHAA YA
AWAMU YA PILI
-
Songea_Ruvuma.
Mgombea Udiwani wa Kata ya Mjini, Manispaa ya Songea kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM), Mathew Casian Ngalimanayo, ameomba tena ridhaa ya ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment