Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Balozi wa Canada nchini, Bw Robert J. Orr, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu ya Dar es salaam leo kwa ajili ya kuagana naye baada kumaliza muda wake wa kazi nchini. PICHA NA IKULU
Wizara ya Katiba na Sheria Yatangaza Mikakati ya Kukuza Haki na Sheria kwa
Mwaka wa Fedha 2026/2027
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Katika hotuba yake ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha
2026/2027, Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt....
1 hour ago

No comments:
Post a Comment