Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein, akiagana na Makamu wake wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi pamoja na viongozi wengine katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume,akielekea Nchini Uingereza kwa Ziara maalum,katika safari hiyo Dkt. Shein amefuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein. Pichana Ramadhan Othman,Ikulu
JAB YAZINDUA MWONGOZO WA ITHIBATI YA MAISHA KWA WAANDISHI WA HABARI WAKONGWE
-
Na Mwandishi Wetu.
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imezindua rasmi Mwongozo wa
Kisheria wa Utoaji wa Ithibati ya Maisha kwa Waandishi wa Ha...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment