Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein, akiagana na Makamu wake wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi pamoja na viongozi wengine katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume,akielekea Nchini Uingereza kwa Ziara maalum,katika safari hiyo Dkt. Shein amefuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein. Pichana Ramadhan Othman,Ikulu
Widow’s Bay na Apple TV Zang’ara Katika Usiku wa Kwanza wa Tuzo za Ubunifu
za Creative Arts Emmys 2026
-
Tuzo za 78 za Primetime Emmy (Creative Arts Emmys) zimetangaza washindi
katika sherehe za siku mbili zilizofanyika katika Ukumbi wa Peacock huko
Los Ang...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment