Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein, akiagana na Makamu wake wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi pamoja na viongozi wengine katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume,akielekea Nchini Uingereza kwa Ziara maalum,katika safari hiyo Dkt. Shein amefuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein. Pichana Ramadhan Othman,Ikulu
YAS YAINGIA KWENYE ORODHA YA CHAPA 50 ZENYE NGUVU AFRIKA, IMETAJWA KAMA
CHAPA YA KUFUATILIWA NA ‘BRAND FINANCE’
-
Kampuni ya mawasiliano ya Yas inayomilikiwa na AXIAN Telecom, imeendelea
kupata mafanikio makubwa baada ya kutajwa kama moja ya chapa za kufuatiliwa
bara...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment