Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji Wakuu wa Makampuni mbalimbali kutoka Marekani walipomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo katika ziara yao ya siku kadhaa ya kuvumbua tanzania (Discover Tanzania VIP CEOs tour) iliyoandaliwa na ubalozi wa Tanzania Marekani. Hii ni mara ya pili kufanyika ziara kama hii, ambapo pamoja na kuwakaribisha tena Rais Kikwete alisema amefurahishwa sana kwa wageni hao kuchagua kutembelea hifadhi za wanyama za kusini mwa nchi (Selous na Ruaha) zenye wanyama wengi na vivutio ambavyo havipatikani kwingine kokote kama vile makundi ya mbwa mwitu ambayo kwa muda mrefu sasa yametoweka mbuga za Kaskazini.Picha na IKULU
AMANI NA UADILIFU: NGUZO MUHIMU KATIKA KULINDA RASILIMALI ZA TAIFA NA
KIZAZI KIJACHO
-
Katika kuelekea mwishoni mwa mwaka 2025, mjadala mpana umeibuka nchini
Tanzania kuhusu uhusiano uliopo kati ya amani ya nchi na usimamizi wa
rasilimal...
18 minutes ago

No comments:
Post a Comment