Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana CCM, UVCCM, Temeke Pius Seleman, 'Pukapuka' akimkabidhi fomu ya kugombea nafasi ya Uwenyekiti wa Umoja huo Wilaya ya Temeke, Athumani Nyamlani, jijini Dar es salaam jana. Katikati ni Mwenyekiti wa Vijana Kata ya Sandali Bw. Ramadhani Mgomi. Na Mpiga picha Wetu
RC Queen Sendiga asogeza haki kwa wananchi, azindua kliniki za sheria bure
Manyara
-
*Na Mwandishi Wetu, Manyara.*
*MKUU wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amezindua rasmi kamati za
ushauri wa kisheria pamoja na kliniki za sheria b...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment