Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana CCM, UVCCM, Temeke Pius Seleman, 'Pukapuka' akimkabidhi fomu ya kugombea nafasi ya Uwenyekiti wa Umoja huo Wilaya ya Temeke, Athumani Nyamlani, jijini Dar es salaam jana. Katikati ni Mwenyekiti wa Vijana Kata ya Sandali Bw. Ramadhani Mgomi. Na Mpiga picha Wetu
KATIBU MKUU WA CAF NA NCHI WENYEJI WAKUTANA KUJADILI MAANDALIZI YA AFCON
2027
-
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Bw. Samson
Adamu, amefanya kikao maalum na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo...
38 minutes ago

No comments:
Post a Comment