Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana CCM, UVCCM, Temeke Pius Seleman, 'Pukapuka' akimkabidhi fomu ya kugombea nafasi ya Uwenyekiti wa Umoja huo Wilaya ya Temeke, Athumani Nyamlani, jijini Dar es salaam jana. Katikati ni Mwenyekiti wa Vijana Kata ya Sandali Bw. Ramadhani Mgomi. Na Mpiga picha Wetu
MKURUGENZI MKUU WA HALOTEL TANZANIA ATEMBELEA BANDA LA HALOTEL KATIKA
MAONESHO YA SABASABA 2026
-
Mkurugenzi Mkuu wa Halotel Tanzania, Bw. Bui Van Thang, leo ametembelea
banda la Halotel katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es
Salaam ...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment