Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana CCM, UVCCM, Temeke Pius Seleman, 'Pukapuka' akimkabidhi fomu ya kugombea nafasi ya Uwenyekiti wa Umoja huo Wilaya ya Temeke, Athumani Nyamlani, jijini Dar es salaam jana. Katikati ni Mwenyekiti wa Vijana Kata ya Sandali Bw. Ramadhani Mgomi. Na Mpiga picha Wetu
WADAU WA SEKTA BINAFSI TABORA WATOA MAONI KUHUSU MKUMBI II
-
Wadau wa sekta binafsi mkoani Tabora wamewasilisha maoni na mapendekezo
yao kwa Timu ya Kitaifa ya Wataalamu inayoratibu maandalizi ya awamu ya
pili ya Mp...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment