Mabomu ya machozi yameanza kurindima tangu mida ya saa kumi na mbili kasoro baada ya askari wa kuuliza ghasia kujipanga katika mtaa wa Kikwajuni kuwazuia wanaharakati wa kundi la Uamsho waliokuwa wakiandamana na mabango yao kinyume na utaratibu, ambapo milio kadhaa ya mabomu imekuwa ikisikika mpaka sasa.
PIGENI KURA ZA MAENDELEO- MHE. WANU
-
Na Yohana Kidaga- Rufiji
Mlezi wa Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania( UWT) Wilaya ya Rufiji, na
Mgombea wa Ubunge kwa jimbo la Makunduchi, Mhe. Wanu Hafi...
21 minutes ago
No comments:
Post a Comment