Mabomu ya machozi yameanza kurindima tangu mida ya saa kumi na mbili kasoro baada ya askari wa kuuliza ghasia kujipanga katika mtaa wa Kikwajuni kuwazuia wanaharakati wa kundi la Uamsho waliokuwa wakiandamana na mabango yao kinyume na utaratibu, ambapo milio kadhaa ya mabomu imekuwa ikisikika mpaka sasa.
DKT. MUYUNGI ATETA NA UJUMBE KUTOKA UBALOZI WA UINGEREZA ULIOPO TANZANIA
-
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi (kulia)
akizungumza jambo wakati wa kikao chake na wawakilishi wa Ubalozi wa
Uingereza nchini Ta...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment