Mabomu ya machozi yameanza kurindima tangu mida ya saa kumi na mbili kasoro baada ya askari wa kuuliza ghasia kujipanga katika mtaa wa Kikwajuni kuwazuia wanaharakati wa kundi la Uamsho waliokuwa wakiandamana na mabango yao kinyume na utaratibu, ambapo milio kadhaa ya mabomu imekuwa ikisikika mpaka sasa.
TANZANIA NA UAE KUENDELEZA USHIRIKIANO KATIKA UWEKEZAJI
-
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam
Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimeahidi kuimarisha zaidi
ushirikiano katika sekta mbalimbali za kiuchumi iki...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment