Mabomu ya machozi yameanza kurindima tangu mida ya saa kumi na mbili kasoro baada ya askari wa kuuliza ghasia kujipanga katika mtaa wa Kikwajuni kuwazuia wanaharakati wa kundi la Uamsho waliokuwa wakiandamana na mabango yao kinyume na utaratibu, ambapo milio kadhaa ya mabomu imekuwa ikisikika mpaka sasa.
MARIDHIANO: Msingi Mpya wa Ustawi na Umoja wa Kitaifa Tanzania
-
Katika kipindi ambacho dunia inakabiliwa na misukosuko ya kijamii na
kiuchumi, dhana ya maridhiano imetajwa kuwa rasilimali ya kimkakati
inayopaswa kupe...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment