Kocha mpya wa Klabu ya Yanga, Mbelgiji Thom Saintfiet, akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jana na kupokelewa mashabiki wa Klabu hiyo. Kocha huyo baada ya kuwasili anatarajia kusaini mkataba ramsi na Klabu hiyo, leo ambapo atakabidhiwa mikoba ya kujenga kikosi cha Yanga na kusimamia kikosi cha timu ya Vijana wa U 20 wa timu hiyo. Kocha huyo tayari amekwisha toa matumaini makubwa kwa wapenzi wa Klabu hiyo na wachezaji huku akisema kuwa kazi kubwa na ya kwanza ataanza kuandaa kikosi cha kutetea Ubingwa wa Kombe la Kagame katika michuano inayotarajia kuanza hivi karibuni.
TUNAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZETU KIDIJITALI KUONGEZA UFANISI KWA
WAGENI-NCAA
-
Uongozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) umeeleza kuwa,
umedhamiria kuendelea kuboresha utoaji huduma kwa watalii kwa njia za
kisasa kupi...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment