Badhi ya Wanachama wa Klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika Ukumbi wa Diamond Jubilee kwa ajili ya kuchagua viongozi wao leo. Mkutano huo mpaka sasa bado unaendelea katika hatua ya kuhesabiwa kura ambapo matokeo rasmi yanatarajia kutolewa baada ya kumalizika kwa zoezi la kuhesabu kura.
Rais Samia: Vijana Ndio Injini ya Serikali, Hatma ya Tanzania Ipo Mikononi
Mwenu
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema
vijana ndio nguzo kuu ya uendeshaji wa Seri...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment