Badhi ya Wanachama wa Klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika Ukumbi wa Diamond Jubilee kwa ajili ya kuchagua viongozi wao leo. Mkutano huo mpaka sasa bado unaendelea katika hatua ya kuhesabiwa kura ambapo matokeo rasmi yanatarajia kutolewa baada ya kumalizika kwa zoezi la kuhesabu kura.
Access Bank Tanzania Yakamilisha Ununuzi wa Kitengo cha Huduma za Wateja
Binafsi, Wafanyabiashara na Biashara wa Kati wa Benki ya Standard Chartered
-
Benki ya Access Tanzania yapanua huduma zake nchini, yaimarisha huduma za
kibinafsi na biashara, na kuchochea ujumuishaji wa kifedha kwa Watanzania
wote....
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment