Badhi ya Wanachama wa Klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika Ukumbi wa Diamond Jubilee kwa ajili ya kuchagua viongozi wao leo. Mkutano huo mpaka sasa bado unaendelea katika hatua ya kuhesabiwa kura ambapo matokeo rasmi yanatarajia kutolewa baada ya kumalizika kwa zoezi la kuhesabu kura.
Askofu Mwankenja ahimimiza watanzania kupiga kura Oktoba 29
-
Na Mwandishi Wetu
Askofu wa Kanisa la Furahini katika Bwana la jijini Dar es Salaam
Dkt.Ezekiel Mwankenja amesema kuwa Watanzania kujitokeza katika kupiga ...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment