Badhi ya Wanachama wa Klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika Ukumbi wa Diamond Jubilee kwa ajili ya kuchagua viongozi wao leo. Mkutano huo mpaka sasa bado unaendelea katika hatua ya kuhesabiwa kura ambapo matokeo rasmi yanatarajia kutolewa baada ya kumalizika kwa zoezi la kuhesabu kura.
WAZIRI NANAUKA ATOA MAAGIZO KWA MAAFISA MAENDELEO YA VIJANA NCHINI
-
-Ataka Maafisa hao kuwa na takwimu sahihi za vijana
-Kuunganisha vijana na programu na fursa za Ujuzi, Ajira na Uwezeshaji
Kiuchumi
Na: Ofisi ya Rais, Mae...
7 minutes ago

No comments:
Post a Comment