Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Shilingi 26,000,000 kwa mwakilishi wa Hassan Maajar Trust (HMT) na Andrew Hogson, Kaimu Meneja Mkuu wa tiGo akishuhudia. Fedha hizo zitatumika kununulia na kugawa madawati katika shule tano kutoka wilaya za Makete na Njombe. Shule zitakazonufaika ni Maendeleo (135), Umoja (196), Kumbila (200), Makonde (152) na Mbela (37).
TARURA Mkuranga Yaendelea na Ujenzi wa Barabara ya Vikindu–Sengetini
Kuunganisha Pwani na Dar es Salaam
-
Na Miraji Msala, Mkuranga – Pwani
Mhandisi Aidan Maliva kutoka Kampuni ya Ubaruku Construction Co. Ltd,
alisema kazi hiyo inaendelea vizuri kwa kasi na kwa...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment