Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Shilingi 26,000,000 kwa mwakilishi wa Hassan Maajar Trust (HMT) na Andrew Hogson, Kaimu Meneja Mkuu wa tiGo akishuhudia. Fedha hizo zitatumika kununulia na kugawa madawati katika shule tano kutoka wilaya za Makete na Njombe. Shule zitakazonufaika ni Maendeleo (135), Umoja (196), Kumbila (200), Makonde (152) na Mbela (37).
YANGA SC YAICHAPA AZAM FC 2-1 NA KUTINGA FAINALI MUUNGANO CUP
-
MABINGWA watetezi, Yanga SC wamefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la
Muungano baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC usiku hui Uwanja wa
New Amaan...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment