Askari wa Jeshi la Nchi ya Brazil, wakiwa na Vifaru vya kivita nje ya Kumbi za mikutano, ulipokuwa ukifanyika mkutano wa kimataifa wa Mazingira Rio+20, uliomalizika miezi miwili iliyopita nchini humo. Hali kama hii inakuja wakati nchi ikiwa katika hali tete ambapo nchi hulazimika kuwalinda raia wake na wageni wote wanaofika nchini kwao kwa wakati huo, sasa mkutano kama huu ambao pia umewahi kufanyika katika nchi tofauti ambazo hazikuandaaa ulinzi kama huu vipi nchini Brazil? hii inaonyesha na kuashiria nini? na ukiachilia mbali vifaru hivi, mahala hapa kulikuwa na askari wenye silaha za kivika kila kona na magari ya kivita na vifaa mbalimbali vya kivita.
OFISI YA WAZIRI MKUU YAAHIDI KUFANYIA KAZI MAAZIMIO YA WADAU WA KINGA YA
JAMII ARUSHA
-
Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano) imeahidi kufanyia kazi kwa
weledi maoni na mapendekezo yote yaliyotolewa na washiriki wa Mkutano wa
Wa...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment