Katika Jiji hili la Brazil pembezoni mwa barabara zimewekwa barabara za mabasi yaendayo kasi na vituo vya kuvutia vikiwa vimejengwa kila baada kilomita moja. Tanzania ipo siku tutafiki hatua hii midam tayari tumekwishaanza kwa kasi ya ajabu.
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa P...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment