Katika Jiji hili la Brazil pembezoni mwa barabara zimewekwa barabara za mabasi yaendayo kasi na vituo vya kuvutia vikiwa vimejengwa kila baada kilomita moja. Tanzania ipo siku tutafiki hatua hii midam tayari tumekwishaanza kwa kasi ya ajabu.
TANZANIA NA MAREKANI ZAJA NA MAPINDUZI MAKUBWA KWENYE SEKTA YA AFYA
-
Serikali ya Tanzania imekubaliana na Chama cha Wafanyabiashara cha Marekani
(U.S. Chamber of Commerce) mjini Washington, D.C., kutekeleza kwa mkakati
...
11 hours ago

No comments:
Post a Comment