Katika Jiji hili la Brazil pembezoni mwa barabara zimewekwa barabara za mabasi yaendayo kasi na vituo vya kuvutia vikiwa vimejengwa kila baada kilomita moja. Tanzania ipo siku tutafiki hatua hii midam tayari tumekwishaanza kwa kasi ya ajabu.
TANZANIA NA UAE KUENDELEZA USHIRIKIANO KATIKA UWEKEZAJI
-
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam
Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimeahidi kuimarisha zaidi
ushirikiano katika sekta mbalimbali za kiuchumi iki...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment