Kijana ambaye hakuweza kufahamika jina lake, akikatiza katika mitaa ya Bamaga jijini Dar es Salaam, huku akiwa amevalia mavazi yake meupe na kofia inayofanana na ya askari wa usalama Barabarani 'Trafic' huku akisikiliza muziki kupitia simu yake.
MARIDHIANO: Msingi Mpya wa Ustawi na Umoja wa Kitaifa Tanzania
-
Katika kipindi ambacho dunia inakabiliwa na misukosuko ya kijamii na
kiuchumi, dhana ya maridhiano imetajwa kuwa rasilimali ya kimkakati
inayopaswa kupe...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment