Kijana ambaye hakuweza kufahamika jina lake, akikatiza katika mitaa ya Bamaga jijini Dar es Salaam, huku akiwa amevalia mavazi yake meupe na kofia inayofanana na ya askari wa usalama Barabarani 'Trafic' huku akisikiliza muziki kupitia simu yake.
TUGHE YATOA RAI KWA WAFANYAKAZI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU KWA KUCHAGUA
VIONGOZI WATAKAOLINDA NA KUSIMAMIA MASLAHI YA WAFANYAKAZI
-
Na Mwandishi Wetu, KIBAHA PWANI
Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimetoa rai kwa
Wafanyakazi Nchini kushiriki kikamilifu katika U...
20 minutes ago
No comments:
Post a Comment