Kijana ambaye hakuweza kufahamika jina lake, akikatiza katika mitaa ya Bamaga jijini Dar es Salaam, huku akiwa amevalia mavazi yake meupe na kofia inayofanana na ya askari wa usalama Barabarani 'Trafic' huku akisikiliza muziki kupitia simu yake.
TANZANIA NA UAE KUENDELEZA USHIRIKIANO KATIKA UWEKEZAJI
-
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam
Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimeahidi kuimarisha zaidi
ushirikiano katika sekta mbalimbali za kiuchumi iki...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment