Kijana ambaye hakuweza kufahamika jina lake, akikatiza katika mitaa ya Bamaga jijini Dar es Salaam, huku akiwa amevalia mavazi yake meupe na kofia inayofanana na ya askari wa usalama Barabarani 'Trafic' huku akisikiliza muziki kupitia simu yake.
WANAFUNZI WA MUM WATINGA NBAA KUPATA ELIMU YA UHASIBU
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu/mafunzo kwa Vyuo vikuu pamoja na Shule za Sekondari ikiwa na
lengo...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment