Gari ya Abiria aina ya Isuzu Journey, linalofanya kazi za kusafirisha abiria (Daladala) likiteketea kwa moto jana mchana maeneo ya Buguruni Rozana jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mara moja na katika ajali hiyo ya moto hakuna aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha. Picha na Mpiga Picha wetu
DK.SAMIA AAHIDI SERIKALI SASA KUWEKA NGUVU KATIKA NG’OMBE WA MAZIWA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Geita
MGOMBEA Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan
amesema mkakati wa Serikali katika miaka mitan...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment