Gari ya Abiria aina ya Isuzu Journey, linalofanya kazi za kusafirisha abiria (Daladala) likiteketea kwa moto jana mchana maeneo ya Buguruni Rozana jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mara moja na katika ajali hiyo ya moto hakuna aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha. Picha na Mpiga Picha wetu
RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI MAALUM WA
PEMBE YA AFRIKA NA RED SEA
-
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete, ameteuliwa rasmi kuwa Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika (AU)
kwa ukand...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment