Gari ya Abiria aina ya Isuzu Journey, linalofanya kazi za kusafirisha abiria (Daladala) likiteketea kwa moto jana mchana maeneo ya Buguruni Rozana jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mara moja na katika ajali hiyo ya moto hakuna aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha. Picha na Mpiga Picha wetu
Sinners Yatikisa Tuzo za Oscar: Ryan Coogler Aweka Rekodi ya Kihistoria
-
Pazia la kinyang'anyiro cha tuzo za 98 za Academy, maarufu kama Oscar,
limefunguliwa huku filamu ya kutisha kuhusu majini (vampires) iitwayo
Sinners y...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment