Gari ya Abiria aina ya Isuzu Journey, linalofanya kazi za kusafirisha abiria (Daladala) likiteketea kwa moto jana mchana maeneo ya Buguruni Rozana jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mara moja na katika ajali hiyo ya moto hakuna aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha. Picha na Mpiga Picha wetu
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI AMJULIA HALI MZEE YUSUPH MAKAMBA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt.
Emmanuel Nchimbi, amemtembelea na kumjulia hali, Katibu Mkuu Mstaafu wa
Chama Cha Ma...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment