Gari ya Abiria aina ya Isuzu Journey, linalofanya kazi za kusafirisha abiria (Daladala) likiteketea kwa moto jana mchana maeneo ya Buguruni Rozana jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mara moja na katika ajali hiyo ya moto hakuna aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha. Picha na Mpiga Picha wetu
WAJA ACHUKUA FOMU YA UTEUZI JIMBO LA GEITA MJINI - "KAZI NA MATOKEO"
-
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Geita Mjini,CHACHA WAMBURA amechukua fomu ya
uteuzi katika Ofisi za Msimamizi wa uchaguzi wa Halmashauri ya Manispaa ya
GEITA ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment