Gari ya Abiria aina ya Isuzu Journey, linalofanya kazi za kusafirisha abiria (Daladala) likiteketea kwa moto jana mchana maeneo ya Buguruni Rozana jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mara moja na katika ajali hiyo ya moto hakuna aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha. Picha na Mpiga Picha wetu
Bank of Africa Tanzania Yatoa Mafunzo ya Fedha kwa Wajasiriamali Dodoma
-
Bank of Africa Tanzania imeandaa warsha kwa ajili ya wajasiriamali iitwayo
SME Clinic ambayo inalenga kutoa elimu ya masuala ya fedha ili kusaidia
ukuaji...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment