Mshambuliaji wa timu ya Manchester United, Wayne Rooney (kulia) akipiga shuti mbele ya beki wa Everton, Sylvain Distin, wakati wa mchezo wao wa kwanza kwa timu hiyo wa Ligi Kuu ya England uliochezwa jana usiku. Katika mchezo huo Everton ilishinda bao 1-0. Picha na Andrew Yates (AFP)
MAUZO YA HATIFUNGANI YA MAKAZI YAPATA MAFANIKIO MAKUBWA YA ASILIMIA 661.1
-
-Mauzo yake yafikia kiasi cha Sh. bilioni 33.08 ikilinganishwa na
Sh.bilioni 5 zilizotarajiwa
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
MAUZO ya Hatifungani ya MAKA...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment