Mshambuliaji wa timu ya Manchester United, Wayne Rooney (kulia) akipiga shuti mbele ya beki wa Everton, Sylvain Distin, wakati wa mchezo wao wa kwanza kwa timu hiyo wa Ligi Kuu ya England uliochezwa jana usiku. Katika mchezo huo Everton ilishinda bao 1-0. Picha na Andrew Yates (AFP)
RAIS SAMIA AFANYA MABADILIKO YA MUUNDO WA WIZARA , ATEUA VIONGOZI
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amefanya mabadiliko makubwa ya muundo katika Wizara mbili na kuteua
viongozi m...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment