Mshambuliaji wa timu ya Manchester United, Wayne Rooney (kulia) akipiga shuti mbele ya beki wa Everton, Sylvain Distin, wakati wa mchezo wao wa kwanza kwa timu hiyo wa Ligi Kuu ya England uliochezwa jana usiku. Katika mchezo huo Everton ilishinda bao 1-0. Picha na Andrew Yates (AFP)
Hamu ya Maridhiano: Viongozi wa Dini na Wanasiasa Wahimiza Amani Baada ya
Ripoti
-
Viongozi wa dini na wanasiasa nchini wametoa mwito wa dhati kwa Watanzania
kudumisha amani, utulivu, na mshikamano kufuatia kukamilika na kuwasilishwa...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment