Mshambuliaji wa timu ya Manchester United, Wayne Rooney (kulia) akipiga shuti mbele ya beki wa Everton, Sylvain Distin, wakati wa mchezo wao wa kwanza kwa timu hiyo wa Ligi Kuu ya England uliochezwa jana usiku. Katika mchezo huo Everton ilishinda bao 1-0. Picha na Andrew Yates (AFP)
SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA MASHINE ZA EFD
-
Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma.
Serikali imesema kuwa taratibu za kikodi zimebainisha kwamba,
mfanyabiashara yeyote mwenye mauzo ghafi yenye kiasi cha shil...
23 minutes ago
No comments:
Post a Comment