Warembo watakao wania taji la REDD's Miss Kanda ya Mashariki 2012 watapanda jukwaani Agost 30, 2012 katika Ukumbu wa Usambara Safari Lodge kumsaka Balozi wa Usambara. Wahi tiketi yako sasa ambapo Miss Tanzania 2010, Genevieve Mpangala ataongoza mashambulizi kwa kulipamba jukwaa.
TUTATOA USHIRIKIANO KWA WIZARA-MNZAVA
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii imeahidi kutoa
ushirikiano kwa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makaz...
37 minutes ago

No comments:
Post a Comment