Warembo watakao wania taji la REDD's Miss Kanda ya Mashariki 2012 watapanda jukwaani Agost 30, 2012 katika Ukumbu wa Usambara Safari Lodge kumsaka Balozi wa Usambara. Wahi tiketi yako sasa ambapo Miss Tanzania 2010, Genevieve Mpangala ataongoza mashambulizi kwa kulipamba jukwaa.
IMANI YA JUMUIYA YA KIMATAIFA KWA UONGOZI WA RAIS SAMIA IMEJIDHIHIRISHA
KUPITIA UFADHILI WA DOLA BILIONI 1.277 KUENDELEZA UJENZI WA SGR.
-
Aprili 28, 2026, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini
mkataba wa kukamilisha mpango wa ufadhili wa pamoja wenye thamani ya
takribani dola...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment