Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea maua muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Entebbe,Uganda tayari kuhudhuria mkutano wa siku mbili wa wakuu wa nchi za Maziwa Makuu unaofanyika katika Hoteli ya Speke's Bay, Munyonyo jijini Kampala, Uganda .Picha na Freddy Maro
RAS PWANI APONGEZA NARCO KWA KAZI BORA YA UFUGAJI WA KISASA NA UZALISHAJI
WA NYAMA BORA NCHINI
-
Farida Mangube, Morogoro
Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Bi Pili Mnyema, ameitka Kampuni ya Ranchi
za Taifa NARCO kushirikiana na wafugaji wadogo kwa kuwap...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment