Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea maua muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Entebbe,Uganda tayari kuhudhuria mkutano wa siku mbili wa wakuu wa nchi za Maziwa Makuu unaofanyika katika Hoteli ya Speke's Bay, Munyonyo jijini Kampala, Uganda .Picha na Freddy Maro
MANYARA KUWAFIKIA WATOTO 670,000 KATIKA KAMPENI YA CHANJO YA POLIO
-
Na Mwandishi wetu, Babati
Mkoa wa Manyara umeweka mkakati wa kuhakikisha watoto 670,000 wenye umri
chini ya miaka 10 wanafikiwa na kupata chanjo kati...
4 hours ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment