| Mwanasheria wa wakazi wa zilizokua kota za bandari Gerezani , Dkt. Sengondo Mvungi (kulia) akizungumza na wateja wake, Dar es salaam Katika moja ya mikutano na wakazi hao kuhusu maendeleo ya kesi yao iliyo mahakama kuu ya Tanzania na kwa mujibu wa kesi namba 44 ya mwaka 2012 taarifa zilizochapichwa na mtendaji mkuu wa wakara wa usafiri wa haraka 'DART' kwa wahanga wakapokee fidia zao linakiuka amri ya Mahakama Kuu, iliyotajwa tarehe 28,6,2012 hivyo mnashauliwa kuto tii agizo hilo pia waanga wa bomoa bomoa wanaalifiwa kuhudhuria kikao cha pamoja na wakili tarehe 11,8,2012 katika ukumbi mtakaoarifiwa na kamati yao Imetolewa na DR,Sengondo Mvungi. |
WILLIAM LUKUVI: NI MWALIMU WA SIASA NA NGUZO MUHIMU YA UONGOZI
-
Viongozi mbalimbali nchini wameungana na Rais Samia Suluhu Hassan kumlilia
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu),William
Vang...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment