Halima Mamuya (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa serikali wastaafu, (kulia) ni Bi. Mwantum Malale na (katikati) ni Bi. Shamim Khan, wakati walipokutana katika moja ya hafla iliyowakutanisha kinamama jijini Dar es Salaam, jana maeneo ya Oysterbay.
GF YAADHIMISHA MIAKA 19 YA KUANZISHWA KWAKE,ASILIMIA 90 YA WAFANYAKAZI NI
WAZAWA.
-
Katika kuadhimisha miaka 19 ya kuanzishwa kwa kiwanda cha kuunganisha
magari cha GF, uongozi wa kiwanda hicho umesema unajivunia kuwa sehemu ya
kuzalisha...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment