Halima Mamuya (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa serikali wastaafu, (kulia) ni Bi. Mwantum Malale na (katikati) ni Bi. Shamim Khan, wakati walipokutana katika moja ya hafla iliyowakutanisha kinamama jijini Dar es Salaam, jana maeneo ya Oysterbay.
TCAA Yatumia Wiki ya Utumishi wa Umma Kuelimisha Wananchi
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeungana na Taasisi mbalimbali
za umma kushiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
yanayofany...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment