Halima Mamuya (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa serikali wastaafu, (kulia) ni Bi. Mwantum Malale na (katikati) ni Bi. Shamim Khan, wakati walipokutana katika moja ya hafla iliyowakutanisha kinamama jijini Dar es Salaam, jana maeneo ya Oysterbay.
Rais Samia amwomba Drogba kuwa Balozi wa Tanzania AFCON 2027
-
RAIS Samia Suluhu Hassan amemuomba mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa
ya mpira wa miguu ya Ivory Coast na Chelsea ya England, Didier Drogba kuwa
Bal...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment