Halima Mamuya (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa serikali wastaafu, (kulia) ni Bi. Mwantum Malale na (katikati) ni Bi. Shamim Khan, wakati walipokutana katika moja ya hafla iliyowakutanisha kinamama jijini Dar es Salaam, jana maeneo ya Oysterbay.
WAPIGA KURA 37,647,235 KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025
-
*Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs
Mwambegele akizungumza na wananchi wakati akisoma risala yake kuhusu
Uchaguz...
52 minutes ago

No comments:
Post a Comment