Max Lopez ni msanii chipkuzi kutoka kundi la THT, anakuja na kitu kipya kabisa 'Fikra Yangu'. Max Lopez mwenye umri wa miaka 22 ni mwimbiaji na pia anapiga gitaa. Wadau msanii huyu anahitaji support, Let's support our own.
KAMPUNI YA RADDY ENERGY YA TANZANIA KUNUNUA MITAMBO YA UZALISHAJI UMEME
KUTOKA KAMPUNI YA SIEMENS YA USWIDI
-
*Balozi wa Tanzania nchini Uswidi, Mhe. Mobhare Matinyi (wa nne kutoka
kushoto mstari wa mbele), akiwa pamoja na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Raddy
Energ...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment