Max Lopez ni msanii chipkuzi kutoka kundi la THT, anakuja na kitu kipya kabisa 'Fikra Yangu'. Max Lopez mwenye umri wa miaka 22 ni mwimbiaji na pia anapiga gitaa. Wadau msanii huyu anahitaji support, Let's support our own.
TANZANIA NA MAREKANI ZAJA NA MAPINDUZI MAKUBWA KWENYE SEKTA YA AFYA
-
Serikali ya Tanzania imekubaliana na Chama cha Wafanyabiashara cha Marekani
(U.S. Chamber of Commerce) mjini Washington, D.C., kutekeleza kwa mkakati
...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment