Max Lopez ni msanii chipkuzi kutoka kundi la THT, anakuja na kitu kipya kabisa 'Fikra Yangu'. Max Lopez mwenye umri wa miaka 22 ni mwimbiaji na pia anapiga gitaa. Wadau msanii huyu anahitaji support, Let's support our own.
TRA YAZINDUA DAWATI LA KUWEZESHA BIASHARA NCHINI JIJINI ARUSHA
-
Na. VERO IGNATUS ARUSHA.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua rasmi dawati maalum la kuwezesha
biashara nchini (Trade Facilitation Desk) litakalokuw...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment