Max Lopez ni msanii chipkuzi kutoka kundi la THT, anakuja na kitu kipya kabisa 'Fikra Yangu'. Max Lopez mwenye umri wa miaka 22 ni mwimbiaji na pia anapiga gitaa. Wadau msanii huyu anahitaji support, Let's support our own.
WILLIAM LUKUVI: NI MWALIMU WA SIASA NA NGUZO MUHIMU YA UONGOZI
-
Viongozi mbalimbali nchini wameungana na Rais Samia Suluhu Hassan kumlilia
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu),William
Vang...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment