Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Waziri George Mkuchika, Mama Karume, wakiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Yanga, wakati timu hiyo na baadhi ya viongozi wake walipofika Bungeni mjini Dodoma leo kufuatia mualiko waliopewa na Bunge kwa ajili ya kufika mjengoni hapo kuonyesha Kombe hilo kwa waheshimiwa.
Tanzania Kushirikiana na Marekani Kufanya Utafiti wa Maeneo Yenye Madini ya
Kinywe (Graphite)
-
Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema Tanzania itaendelea
kushirikiana na Serikali ya Marekani katika matumizi ya teknolojia na vifaa
vya kisasa ...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment