Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Waziri George Mkuchika, Mama Karume, wakiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Yanga, wakati timu hiyo na baadhi ya viongozi wake walipofika Bungeni mjini Dodoma leo kufuatia mualiko waliopewa na Bunge kwa ajili ya kufika mjengoni hapo kuonyesha Kombe hilo kwa waheshimiwa.
MBINU ZA MAWASILIANO YATAJWA KUWA UFUNGUO WA MAFANIKIO YA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Katika kuimarisha juhudi za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
nchini, waandishi wa habari na maafisa mawasil...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment