Timu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, leo jioni imeanza Ligi kuu ya Tanzania Bara kwa kutoka droo ya bila kufungana na Prisons ya jijini Mbeya, katika mchezo wao uliochezwa kwenye Uwanja wa Sokoine jijini humo.
WATANZANIA WATAKIWA KUACHANA NA DHANA POTOFU KWAMBA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
NI GHARAMA
-
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umewasihi Watanzania kote nchini kuachana
na dhana ya kwamba Nishati Safi ya Kupikia ni gharama ikilinganishwa na
matumizi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment