Timu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, leo jioni imeanza Ligi kuu ya Tanzania Bara kwa kutoka droo ya bila kufungana na Prisons ya jijini Mbeya, katika mchezo wao uliochezwa kwenye Uwanja wa Sokoine jijini humo.
Wanahisa wa Benki ya CRDB waidhinisha Malipo ya Gawio la Shilingi Bilioni
130.6 kwa Mwaka wa Fedha wa 2023
-
Arusha 18 Mei 2024 - Wanahisa wa Benki ya CRDB wameidhinisha kwa kauli moja
mapendekezo ya Bodi ya Wakurugenzi kuhusu malipo ya gawio la Shilingi 50
kwa ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment