Timu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, leo jioni imeanza Ligi kuu ya Tanzania Bara kwa kutoka droo ya bila kufungana na Prisons ya jijini Mbeya, katika mchezo wao uliochezwa kwenye Uwanja wa Sokoine jijini humo.
MJUMBE MAALUMU WA AU, KIKWETE AREJESHA MATUMAINI SUDAN KUSINI
-
Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika na
Bahari ya Sham, Rais mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete amekutana na
Rais Sa...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment