| Ofisa wa Kampuni ya Steps Entatainmenti, wasambazaji wa kazi za wasanii, Mbasha Mkilanya (kulia) akigawa sehemu ya vyakula vilivyotolewa na Kampuni ya Steps kwa ajili ya watoto wa shule ya Buguruni Viziwi Malapa Dar es salaam , ambapo Kampuni hiyo imekuwa ikitoa misaada mbalimbali katika shule hiyo kwa ajili ya kuwa karibu na jamii inayowazunguka. picha na Super D |
Rais Samia ataka uwekezaji wa ndani kwenye sekta ya afya Afrika
-
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa mwito kwa nchi za Afrika ziongeze uwekezaji
wa ndani katika sekta ya afya ili kujenga mifumo imara, endelevu na
inayoj...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment