Mshambuliaji wa Jamhuri, Abdalla Othman Ali (kushoto) akijaribu kumpita mlinzi wa Mundu, Patrick James, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Grand Malt, uliochezwa kwenye uwanja wa Amani mjini Zanzibar jana. Katika mchezo huo Jamhuri ilishinda bao 1-0.
TRUMP ADAI WAANDAMANAJI NCHINI KWAKE NI WAASI WA KULIPWA, ATATUMA JESHI
KUWAKABILI
-
Rais Donald Trump amechukua hatua kali ya kuwaweka tayari wanajeshi zaidi
ya 1,500 wa kikosi cha miamvuli kutoka kitengo cha 11 cha Airborne kwa
ajili...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment