Uefa Champion Ship, Mechi kati ya Man U na Braga, imemalizika huku Mashetani wekundu wakiibuka na ushindi wa mabao 3-2. Braga walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya kwanza tu baada ya mpira kuanza na bao la pili katika dakika za mwanzo, ambapo Man U, waliweza kusawazisha baadaye huku mabao 2 kati ya ma3 yakitupiwa na Chicharito.
NI MOROCCO BINGWA AFCON, MOROCCO YALALA NYUMBANI 1-0
-
TIMU ya Senegal ‘Simba wa Teranga’ imefanikiwa kutwaa Kombe la Mataifa ya
Afrika (AFCON) 2025 baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Morocco usiku
huu...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment