Uefa Champion Ship, Mechi kati ya Man U na Braga, imemalizika huku Mashetani wekundu wakiibuka na ushindi wa mabao 3-2. Braga walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya kwanza tu baada ya mpira kuanza na bao la pili katika dakika za mwanzo, ambapo Man U, waliweza kusawazisha baadaye huku mabao 2 kati ya ma3 yakitupiwa na Chicharito.
Zanzibar yajinasibu kuwa kitovu cha biashara, utalii na utamaduni
-
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed, amesema Zanzibar
ina uwezo mkubwa wa kuimarisha uchumi kupitia biashara, utalii...
51 minutes ago

No comments:
Post a Comment