Mchezo unaendelea katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku timu ya Simba ikiwa mbele kwa bao 1-0, bao lililofungwa na kiungo mshambuliaji, Amri Kiemba katika dakika ya nne ya kipindi cha kwanza. katika dakika ya 39, Mbuyu Twite, aliachia shuti kali lililogonga mwamba.
KIKWETE AKUTANA NA SIMBU, AMPONGEZA KWA USHINDI MARATHONI YA BOSTON
-
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete, amekutana na kumpongeza mwanariadha nyota wa Tanzania, Alphonce
Simbu, kuf...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment