Mchezo unaendelea katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku timu ya Simba ikiwa mbele kwa bao 1-0, bao lililofungwa na kiungo mshambuliaji, Amri Kiemba katika dakika ya nne ya kipindi cha kwanza. katika dakika ya 39, Mbuyu Twite, aliachia shuti kali lililogonga mwamba.
PIGENI KURA ZA MAENDELEO- MHE. WANU
-
Na Yohana Kidaga- Rufiji
Mlezi wa Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania( UWT) Wilaya ya Rufiji, na
Mgombea wa Ubunge kwa jimbo la Makunduchi, Mhe. Wanu Hafi...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment