Mchezo unaendelea katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku timu ya Simba ikiwa mbele kwa bao 1-0, bao lililofungwa na kiungo mshambuliaji, Amri Kiemba katika dakika ya nne ya kipindi cha kwanza. katika dakika ya 39, Mbuyu Twite, aliachia shuti kali lililogonga mwamba.
KUJENGA UTAALAMU: TAEC YAWAFUNDISHA WATAALAMU 50 KUHUSU USALAMA WA MIONZI
KATIKA SEKTA YA AFYA
-
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imefanikisha kuendesha mafunzo ya
kitaifa ya siku nne kuhusu usalama wa mionzi ya mashine za X-Ray na vyanzo
vingin...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment