Mchezo unaendelea katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku timu ya Simba ikiwa mbele kwa bao 1-0, bao lililofungwa na kiungo mshambuliaji, Amri Kiemba katika dakika ya nne ya kipindi cha kwanza. katika dakika ya 39, Mbuyu Twite, aliachia shuti kali lililogonga mwamba.
Fursa Ni Silaha Mpya ya Kijana wa Kitanzania
-
Waziri wa Viwanda na Biashara,Judith Kapinga ameweka wazi kuwa mataifa 16
yameleta teknolojia na mitaji hapa nchini. Maana yake dunia sasa ipo
mlangoni ...
40 minutes ago

No comments:
Post a Comment