Mchezo unaendelea katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku timu ya Simba ikiwa mbele kwa bao 1-0, bao lililofungwa na kiungo mshambuliaji, Amri Kiemba katika dakika ya nne ya kipindi cha kwanza. katika dakika ya 39, Mbuyu Twite, aliachia shuti kali lililogonga mwamba.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment