Mwakilishi Mkazi wa UNOPS Nchini Sierra Leone, Omary Mjenga, akiagana na Balozi wa Marekani Nchini Sierra Leone, Michael Owen, alipomtembelea leo na kufanya mazungumzo naye baada ya kumaliza mazungumzo. Balozi Michael Owen, aliwahi kuwa Naibu Balozi wa Marekani Nchini Tanzania mnamo mwaka 2001 hadi 2004.
Viongozi wa Dini Waungana Kutoa Wito Mzito wa Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu
-
Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025,
viongozi wa dini nchini kote wameungana kutoa wito wa kitaifa, wakisisitiza
Watan...
31 minutes ago

No comments:
Post a Comment