Akizungumza na waandishi wa habari msemaji wa bendi hiyo, Rajabu Mhamila 'Super D' amesema ''Tumeshapewa vyombo na Kampuni ya Konyagi ambavyo tutavizindua mbele ya mashabiki wetu siku ya Ijumaa pale Leaders Club, siku ya Ijumaa hivyo wapenzi wote wa bendi ya Msondo mnaombwa kuhudhuria kwa wingi ili kuona vyombo vipya'' alisema Mhamila
NAIBU WAZIRI KITANDULA AIPONGEZA TFS ,ATAKA IONGEZE UBUNIFU BIDHAA ZA NYUKI
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Danstan Kitandula (Mb),
ameipongeza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa jitih...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment