Akizungumza na waandishi wa habari msemaji wa bendi hiyo, Rajabu Mhamila 'Super D' amesema ''Tumeshapewa vyombo na Kampuni ya Konyagi ambavyo tutavizindua mbele ya mashabiki wetu siku ya Ijumaa pale Leaders Club, siku ya Ijumaa hivyo wapenzi wote wa bendi ya Msondo mnaombwa kuhudhuria kwa wingi ili kuona vyombo vipya'' alisema Mhamila
DC Mpogolo Awapongeza Walimu kwa Kazi Kubwa ya Kuandaa Viongozi
-
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewapongeza walimu kwa kazi kubwa
wanayoifanya katika jamii, akisema ni nguzo muhimu katika ujenzi wa taifa
...
2 days ago
No comments:
Post a Comment