Akizungumza na waandishi wa habari msemaji wa bendi hiyo, Rajabu Mhamila 'Super D' amesema ''Tumeshapewa vyombo na Kampuni ya Konyagi ambavyo tutavizindua mbele ya mashabiki wetu siku ya Ijumaa pale Leaders Club, siku ya Ijumaa hivyo wapenzi wote wa bendi ya Msondo mnaombwa kuhudhuria kwa wingi ili kuona vyombo vipya'' alisema Mhamila
UVCCM YAKEMEA VITENDO VYA UCHOCHEZI YAPONGEZA MARIDHIANO
-
Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) limepitisha
maazimio matatu makubwa likiwemo la kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa
uo...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment