Akizungumza na waandishi wa habari msemaji wa bendi hiyo, Rajabu Mhamila 'Super D' amesema ''Tumeshapewa vyombo na Kampuni ya Konyagi ambavyo tutavizindua mbele ya mashabiki wetu siku ya Ijumaa pale Leaders Club, siku ya Ijumaa hivyo wapenzi wote wa bendi ya Msondo mnaombwa kuhudhuria kwa wingi ili kuona vyombo vipya'' alisema Mhamila
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa P...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment