Habari za Punde

*KAMERA YA SUFIANIMAFOTO NDANI YA MJI WA BUKOBA

Madhari ya mji wa Bukoba eneo la Stendi Kuu ya Mabasi ya ndani na nje ya Mji wa Bukoba, ni kama inavyoonekana ikiwa haina mabadiliko wala kufanyiwa marekebisho yanayoendana na hali halisi ya Kiteknolojia ya sasa. Stendi hiyo imekuwa ni kongwe na ya muda mrefu ambayo imekuwa ni mchanganyika wa daladala zinazofanya safari zake ndani ya mji huo pamoja na mabasi yaendayo mikoani. Halmashauri ya Jiji na wahusika mpo??????

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.