Madhari ya mji wa Bukoba eneo la Stendi Kuu ya Mabasi ya ndani na nje ya Mji wa Bukoba, ni kama inavyoonekana ikiwa haina mabadiliko wala kufanyiwa marekebisho yanayoendana na hali halisi ya Kiteknolojia ya sasa. Stendi hiyo imekuwa ni kongwe na ya muda mrefu ambayo imekuwa ni mchanganyika wa daladala zinazofanya safari zake ndani ya mji huo pamoja na mabasi yaendayo mikoani. Halmashauri ya Jiji na wahusika mpo??????
STANDARD CHARTERED YAONGOZA TUKIO LA UPANDAJI MITI BAGAMOYO.
-
Kama sehemu ya dhamira yake ya kukuza uendelevu wa mazingira na uhifadhi
wa mazingira, Standard Chartered Tanzania imeongoza shughuli ya upandaji
miti k...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment