Madhari ya mji wa Bukoba eneo la Stendi Kuu ya Mabasi ya ndani na nje ya Mji wa Bukoba, ni kama inavyoonekana ikiwa haina mabadiliko wala kufanyiwa marekebisho yanayoendana na hali halisi ya Kiteknolojia ya sasa. Stendi hiyo imekuwa ni kongwe na ya muda mrefu ambayo imekuwa ni mchanganyika wa daladala zinazofanya safari zake ndani ya mji huo pamoja na mabasi yaendayo mikoani. Halmashauri ya Jiji na wahusika mpo??????
Harvard Yawakutanisha Mawaziri wa Nchi Zinazoendelea Kujifunza Uongozi
-
RAIS Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho, yuko Boston, Marekani ambapo anashiriki
kutoa mafunzo kwa Mawaziri wakiwemo wa Fedha na wa Mipango kutoka nchi
mbalimba...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment