Madhari ya mji wa Bukoba eneo la Stendi Kuu ya Mabasi ya ndani na nje ya Mji wa Bukoba, ni kama inavyoonekana ikiwa haina mabadiliko wala kufanyiwa marekebisho yanayoendana na hali halisi ya Kiteknolojia ya sasa. Stendi hiyo imekuwa ni kongwe na ya muda mrefu ambayo imekuwa ni mchanganyika wa daladala zinazofanya safari zake ndani ya mji huo pamoja na mabasi yaendayo mikoani. Halmashauri ya Jiji na wahusika mpo??????
RC BATILDA ATOA AGIZO KWA WAKANDARASI MRADI WA UBORESHAJI HUDUMA YA MAJI
TANGA WA HATIFUNGANI YA KIJANI
-
Na Oscar Assenga,TANGA
MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amewataka wakandarasi
watakaohusika katika utekelezaji wa mradi wa hatifungani ya k...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment