Cazorla Dakika ya 90+ ameipatia timu yake bao la kufutia machozi na kufanya mchezo huo kati ya Man U na Arsenal, kumalizika huku Man U wakiibuka na ushindi wa mabao 2-1. Alikuwa ni Van Parsie aliyeanza kufungua nyavu za arsenal katika dakika za mwanzo na Evra kutupia la pili kipindi cha pili.
SAMIA AFUNGUA MILANGO YA UTAJIRI BAHARINI: MELI NYINGINE NNE ZAJA
-
Na Mwandishi Wetu, BSKYmedia
Serikali imetangaza neema kubwa kwa wadau wa uchumi wa buluu nchini baada
ya kubainisha kuwa mbali na meli ya kisasa iliy...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment