Cazorla Dakika ya 90+ ameipatia timu yake bao la kufutia machozi na kufanya mchezo huo kati ya Man U na Arsenal, kumalizika huku Man U wakiibuka na ushindi wa mabao 2-1. Alikuwa ni Van Parsie aliyeanza kufungua nyavu za arsenal katika dakika za mwanzo na Evra kutupia la pili kipindi cha pili.
betPawa yadhamini ligi ya kikapu Dar es salaam kwa Sh588.9m
-
Na Mwandishi wetu
Dar es Salaam. Wachezaji wanaoshiriki Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar
es Salaam (BDL) wanatarajiwa kunufaika na uwekezaji wa mwaka ...
29 minutes ago

No comments:
Post a Comment