Cazorla Dakika ya 90+ ameipatia timu yake bao la kufutia machozi na kufanya mchezo huo kati ya Man U na Arsenal, kumalizika huku Man U wakiibuka na ushindi wa mabao 2-1. Alikuwa ni Van Parsie aliyeanza kufungua nyavu za arsenal katika dakika za mwanzo na Evra kutupia la pili kipindi cha pili.
Waziri Mavunde Apongeza Ushirikiano Benki Ya CRDB na Tume ya Madini
Uwezeshaji Wachimbaji Wadogo wa Madini
-
Dar es Salaam, 23 Februari 2026 — Waziri wa Madini, Anthony Mavunde,
amepongeza kwa ushirikiano wa kimkakati kati ya Benki ya CRDB na Tume ya
Madini, a...
7 minutes ago

No comments:
Post a Comment