Wasanii wa Bongo Movie wakibeba jeneza lenye mwili wa msanii mwenzao, John Maganga, wakati wa kuaga mwili wa msanii huyo, Mwananyamala, Dar es Salaam. Maganga amefariki dunia Jumamosi ya wiki iliyopita, katika hospitali ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam, baada ya kuugua ghafla. John amezikwa leo katika Makaburi ya Kinondoni.
DIAMOND: UWEKEZAJI WA HABARI UNAHITAJI SHERIA, NIDHAMU NA WELEDI
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam*
*Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, Nasib Abdul maarufu Diamond Platnumz,
amesema utekelezaji wa Sheria ya Huduma za ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment