Wasanii wa Bongo Movie wakibeba jeneza lenye mwili wa msanii mwenzao, John Maganga, wakati wa kuaga mwili wa msanii huyo, Mwananyamala, Dar es Salaam. Maganga amefariki dunia Jumamosi ya wiki iliyopita, katika hospitali ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam, baada ya kuugua ghafla. John amezikwa leo katika Makaburi ya Kinondoni.
MAGEUZI YA AFYA: TEKNOLOJIA YA VYUMBA VYA UPASUAJI VINAVYOTEMBEA NDIO
MPANGO MZIMA
-
Tanzania inapita katika kipindi cha dhahabu cha mageuzi ya sekta ya afya,
ambapo siasa safi, diplomasia ya kimataifa, na utu vimeungana kuhakikisha
ku...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment