Wasanii wa Bongo Movie wakibeba jeneza lenye mwili wa msanii mwenzao, John Maganga, wakati wa kuaga mwili wa msanii huyo, Mwananyamala, Dar es Salaam. Maganga amefariki dunia Jumamosi ya wiki iliyopita, katika hospitali ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam, baada ya kuugua ghafla. John amezikwa leo katika Makaburi ya Kinondoni.
MOROCCO NJE, GAMONDI NDANI
-
Na Rahel Pallangyo
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesitisha mkataba na Kocha Mkuu wa
Taifa Stars, Hemed Ali Suleiman 'Morocco'.
Taarifa ya TFF ime...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment