Wasanii wa Bongo Movie wakibeba jeneza lenye mwili wa msanii mwenzao, John Maganga, wakati wa kuaga mwili wa msanii huyo, Mwananyamala, Dar es Salaam. Maganga amefariki dunia Jumamosi ya wiki iliyopita, katika hospitali ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam, baada ya kuugua ghafla. John amezikwa leo katika Makaburi ya Kinondoni.
FEISAL NAYE APIGA MBILI AZAM YAITANDIKA KMC 3-0 CHAMAZI
-
TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya KMC katika mchezo
wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi,
D...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment