Wasanii wa Bongo Movie wakibeba jeneza lenye mwili wa msanii mwenzao, John Maganga, wakati wa kuaga mwili wa msanii huyo, Mwananyamala, Dar es Salaam. Maganga amefariki dunia Jumamosi ya wiki iliyopita, katika hospitali ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam, baada ya kuugua ghafla. John amezikwa leo katika Makaburi ya Kinondoni.
NMB Bank Yatambuliwa Katika Maadhimisho ya Miaka 10 ya JKCI
-
Serikali ya Tanzania kupitia Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)
imesema imeokoa zaidi ya Sh. bilioni 172 ambazo awali zilitumika kupeleka
wagonjwa...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment