Habari za Punde

*WALTER CHILAMBO NDIYE MSHINDI WA EBSS 2012



 Mshindi wa Shindano la Epiq Bongo Star Search 2012 (EBSS), Walter Chilambo akikabidhiwa sanduku lenye kitita cha shilingi milioni 50 baada ya kuibuka mshindi katika shindano hilo lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Picha na Habari Mseto 

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.