Mwandishi wa Habari za michezo Mwandamizi wa Gazeti la Jambo Leo, na mchezaji wa timu ya TASWA Fc, Julius Kihampa, akimvisha pete ya ndoa Mke wake Grace Kingarame, ambaye pia ni Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), wakati wa ibada ya Ndoa yao iliyofanyika kwenye Kanisa la Anglikana la St Albano jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita.
Michael Oliver: Mwamba Anayezikwepa Newcastle na Sunderland! ⚽🔥
-
Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) haina baridi, na mwamuzi maarufu Michael Oliver
amezidi kuingia kwenye vichwa vya habari baada ya kuiongoza vyema mechi ya
M...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment