Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Asha Bilal, wakiwa katika picha ya pamoja na Watanzania 3 kati ya saba tu (wawili kushoto na mmoja kulia) wanaoishi nchini Mexico, baada ya kukutana nao na kufanya mazungumzo, wakati akiwa nchini humo hivi karibuni. Nchi hiyo inawatanzania saba wanaoishi nchini humo na kufanya shughuli zao, ambapo hadi sasa wamebakia watanzania 3 baada ya wanne kujisapia kusikojulikana na wenzao hao.
TBS YAHIMIZA MATUMIZI SALAMA YA POMBE NCHINI
-
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa elimu kwa wananchi wa Mkoa wa
Dodoma kuhusu madhara ya matumizi holela ya pombe, likilenga kuzuia athari
za kiafy...
57 minutes ago

No comments:
Post a Comment