KATIBU wa NEC, Oganaizesheni Dk. Muhamed Seif Khatib (kushoto) akitiliana saini wakati alipokuwa akikabidhiwa ofisi na aliyekuwa akishika wadhifa huo kabla ya mabadiliko ya Sekretarieti ya CCM yaliyofanyika hivi karibuni, Asha Abdalaah Juma, wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika, leo Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Kitengo cha Uchaguzi kilichopo Idara ya Oganaizesheni, Matson Chizi. Picha na Bashir Nkoromo.
TATHMINI YA FITCH: UCHUMI WA TANZANIA UNAIMARIKA, WANANCHI WASHAURIWA
KUPUUZA KELELE ZA MITANDAONI, WACHAPE KAZI
-
Wakati kukiwa na mfululizo wa mijadala na kelele kwenye mitandao ya kijamii
inayojaribu kupotosha hali halisi ya nchi, takwimu za kimataifa zimeendelea ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment