KATIBU wa NEC, Oganaizesheni Dk. Muhamed Seif Khatib (kushoto) akitiliana saini wakati alipokuwa akikabidhiwa ofisi na aliyekuwa akishika wadhifa huo kabla ya mabadiliko ya Sekretarieti ya CCM yaliyofanyika hivi karibuni, Asha Abdalaah Juma, wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika, leo Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Kitengo cha Uchaguzi kilichopo Idara ya Oganaizesheni, Matson Chizi. Picha na Bashir Nkoromo.
WAZIRI AWESO AAGIZA MGAWANYO WA MAJI UWE KWA USAWA
-
Waziri wa Maji, Juma Aweso, akizungumza na waandishi wa habari katika
ziara yake kwenye Mtambo wa Kuzalisha Maji wa Ruvu Juu uliopo Mlandizi,
Kibaha mk...
1 minute ago

No comments:
Post a Comment