Pamoja na kwamba magari ya aina hii ndiyo hasa yaliyokuwa yakitamba siku za nyuma kwa kutoa huduma ya usafiri katika jiji la Dar na kwingineko, na baadaye yakapotea na hasa kutokana na mabadiliko ya kiulimwengu baada ya kuja magari kama Double Coaster na mengineyo, na kufanya abiria wakawa wakichagua usafiri kwa kupanda gari zuri na la kisasa, lakini huwezi amini usafiri huu bado ungalipo tena hapa hapa jijini Dar es Salaam, ambapo gari hili hutoa huduma ya usafiri kwa kufanya safari zake, kuanzia Mbezi Tang Bovu hadi Goba mwisho na hugombewa kama mpira wa kona kipindi cha asubuhi na jioni na nauli ni Sh. 500 kila kituo.
NEMC YAKIFUNGA KIWANDA CHA HOOTA KWA KUTOKUZINGATIA TARATIBU ZA KIMAZINGIRA
-
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC Leo Februari 9,
2026 limekifunga kiwanda cha urejelezaji wa taka za plastiki cha HOOTA
kilichopo ...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment