Ukosefu wa maegesho maalum kwa jiji la Dar es Salaa, huchangiwa na wajenzi wa majengo mapya ya maghorofa yanayojengwa bila utaratibu wa kujenga eneo la maegesho katika majengo yao kama ambavyo imefanywa katika Ghorofa la Mkapa Tower. Ni vipi iwapo majengo yote tunayoyaona hapa jijini yangezingatia hilo na kujiwekea mkakati wa kutenga maegesho usumbufu wa kama huu ungekuwapo?
NEMC YAKIFUNGA KIWANDA CHA HOOTA KWA KUTOKUZINGATIA TARATIBU ZA KIMAZINGIRA
-
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC Leo Februari 9,
2026 limekifunga kiwanda cha urejelezaji wa taka za plastiki cha HOOTA
kilichopo ...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment