Ukosefu wa maegesho maalum kwa jiji la Dar es Salaa, huchangiwa na wajenzi wa majengo mapya ya maghorofa yanayojengwa bila utaratibu wa kujenga eneo la maegesho katika majengo yao kama ambavyo imefanywa katika Ghorofa la Mkapa Tower. Ni vipi iwapo majengo yote tunayoyaona hapa jijini yangezingatia hilo na kujiwekea mkakati wa kutenga maegesho usumbufu wa kama huu ungekuwapo?
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment