Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali,katika utekelezaji wa Mpango wa kazi za Wizara hiyo katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar ,(kushoto) Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
RC Queen Sendiga asogeza haki kwa wananchi, azindua kliniki za sheria bure
Manyara
-
*Na Mwandishi Wetu, Manyara.*
*MKUU wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amezindua rasmi kamati za
ushauri wa kisheria pamoja na kliniki za sheria b...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment