Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali,katika utekelezaji wa Mpango wa kazi za Wizara hiyo katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar ,(kushoto) Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
NAIBU WAZIRI KITANDULA AIPONGEZA TFS ,ATAKA IONGEZE UBUNIFU BIDHAA ZA NYUKI
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Danstan Kitandula (Mb),
ameipongeza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa jitih...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment