Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali,katika utekelezaji wa Mpango wa kazi za Wizara hiyo katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar ,(kushoto) Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
TADB na Solidaridad wawezesha Vijana ufugaji Ng'ombe wa Maziwa Mkoani Tanga
-
Vijana wameendelea kupiga hatua za kimaendeleo Mkoani Tanga Kupitia ufugaji
wa ng'ombe wa Maziwa waliowezeshwa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB)
kwa k...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment