Promota wa pambano la Ubingwa wa WBF Mohamed Bawaziri (katikati) akiwa na mkanda wa ubingwa watakaogombania mabondia, Nassibu Ramadhani (kushoto) na Fransic Miyayusho wakati wa utambulisho wa pambano hilo litakalofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba Desemba 9, mwaka huu. Picha na Super D
Samia Atuma Ujumbe Mzito Chato Maziko ya Mama yake na Hayati Magufuli
-
Makamu wa Rais, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amefunguka kwa kina na
kuonesha ukaribu mkubwa uliokuwepo kati yake na aliyekuwa Rais wa Awamu ya
Tano, Hay...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment