Promota wa pambano la Ubingwa wa WBF Mohamed Bawaziri (katikati) akiwa na mkanda wa ubingwa watakaogombania mabondia, Nassibu Ramadhani (kushoto) na Fransic Miyayusho wakati wa utambulisho wa pambano hilo litakalofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba Desemba 9, mwaka huu. Picha na Super D
RC Queen Sendiga asogeza haki kwa wananchi, azindua kliniki za sheria bure
Manyara
-
*Na Mwandishi Wetu, Manyara.*
*MKUU wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amezindua rasmi kamati za
ushauri wa kisheria pamoja na kliniki za sheria b...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment