Promota wa pambano la Ubingwa wa WBF Mohamed Bawaziri (katikati) akiwa na mkanda wa ubingwa watakaogombania mabondia, Nassibu Ramadhani (kushoto) na Fransic Miyayusho wakati wa utambulisho wa pambano hilo litakalofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba Desemba 9, mwaka huu. Picha na Super D
NAIBU WAZIRI KITANDULA AIPONGEZA TFS ,ATAKA IONGEZE UBUNIFU BIDHAA ZA NYUKI
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Danstan Kitandula (Mb),
ameipongeza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa jitih...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment