Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Katiba na Sheria, katika utekelezaji wa Mpango wa kazi za Wizara hiyo katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar ,(kushoto) Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif. Picha na Ramadhan Othman,IKULU.
WAZALISHAJI UMEME MKOANI NJOMBE WATAKIWA KUSHIRIKIANA
-
-Washauriwa kuunda umoja wa kusaidiana na kubadilishana uzoefu
Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali
Mstaafu, Jacob Kingu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment