Habari za Punde

*RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN, AMUAPISHA JAJI ABDULHAKIM AMEIR ISSA KUWA KAIMU JAJI MKUU WA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza  la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, Abdulhakim Ameir Issa, kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar,wakati wa hafla fpi iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.