Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, Abdulhakim Ameir Issa, kuwa Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar,wakati wa hafla fpi iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
RC Sendiga Aongoza Zoezi la Ugawaji Bima ya Afya kwa Kaya Maskini Babati
-
Na Mwandishi Wetu, Manyara.
WANANCHI wa kaya maskini katika Kijiji cha Imbilili, Kata ya Sigino, Wilaya
ya Babati mkoani Manyara, wameanza kunufaika na hud...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment