Bao pekee lililofungwa na mshambuliaji Mrisho Ngassa, katika dakika ya 45 ya kipindi cha kwanza, limeiwezesha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwenda mapumziko ikiwa inaongoza kwa bao 1-0. Pamoja na bao hilo stars pia wamweza kupata nafasi kadhaa ambazo hawakuweza kuzitumia vyema.
Latricia Ian Ndiye Malkia wa Tanzania 2026
-
Latricia Ian ameibuka mshindi wa *Miss World Tanzania 2026* akibeba
mchanganyiko wa adabu, akili iliyopevuka, na kiu ya dhati ya kuacha alama
kwenye ...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment