Bao pekee lililofungwa na mshambuliaji Mrisho Ngassa, katika dakika ya 45 ya kipindi cha kwanza, limeiwezesha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwenda mapumziko ikiwa inaongoza kwa bao 1-0. Pamoja na bao hilo stars pia wamweza kupata nafasi kadhaa ambazo hawakuweza kuzitumia vyema.
HANDENI MJI YAFANYA BONANZA LA MICHEZO KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA
KUPIGA KURA OKTOBA 29
-
HANDENI TC
Halmashauri ya Mji wa Handeni imefanya bonanza kubwa la michezo lililolenga
kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Uchag...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment