Bao pekee lililofungwa na mshambuliaji Mrisho Ngassa, katika dakika ya 45 ya kipindi cha kwanza, limeiwezesha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwenda mapumziko ikiwa inaongoza kwa bao 1-0. Pamoja na bao hilo stars pia wamweza kupata nafasi kadhaa ambazo hawakuweza kuzitumia vyema.
Biashara : NBC Yakutana na Wateja Wake Wakubwa wa Jijini Arusha
-
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekutana na wateja wake wakubwa kutoka
kampuni, wateja binafsi na taasisi mbali mbali (Corporates) wa jijini
Arusha il...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment