Wadau hii ni moja ya sehemu maalum kwa kijiwe ama wenyewe huita Baraza la Kahawa, ambapo watu hukutana katika eneo hilo mida ya jioni na kubadilishana mawazo huku wakipata moja moja, lakini si kama ile mlozoea ninyi ya moja baridi moja moto, la hasha, hapa ni kijikombe kidoooogo ndani kikiwa na maji ya rangi nyeusi na ya moto na radha yake iki ni ya uchungu, yaaki kikombe cha Ghahwa. Ok karibuni Baraza la Kahawaha huku niliko mie Unguja, eneo la Mkokotoni.
PURA YASHIRIKI UKAGUZI NA MAJARIBIO YA MTAMBO WA KUCHIMBA VISIMA VYA GESI
ASILIA
-
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeshiriki zoezi la
ukaguzi na majaribio ya mtambo utakaotumika kuchimba visima vitatu vya gesi
asilia ...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment