Meneja Mkuu wa Zuku Tanzania, Fadhil Mwasyeba (wa pili kushoto) akibadilishana hati a makubaliano ya kulipia king'amuzi cha Zuku kwa njia ya mtandao na Meneja Matangazo na Masoko wa Kampuni ya SelCom wireless Paypoint, Juma Mgori, wakati wa hafla fupi ya kusainiana mkataba huo iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kurahisisha hudumu hiyo.
MAKAMU WA RAIS AZINDUA MPANGO WA USHIRIKIANO KATI YA TAASISI ZA ELIMU NA
VIWANDA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akizindua Mpango wa Ushirikiano kati ya Taasisi za Elimu na Viwanda
ka...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment