Hii ni staili mpya kuezeka Bati? hii haiwezi kutufaa wengine wa jiji hili la Dar kutokana na hali halisi ya maisha ya matamanio na kila mmoja kupenda chake kuwa chake na cha wenzake kuwa chake, nahisi nyumba hii ingekuwa maeneo ya fulani ya hapa Dar, asubuhi wenyeji wangejikuta wanaangaliana na mawingu tu. Nyumba hii imenaswa na kamera ya sufianimafoto eneo la Manzese, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini-Unguja hivi karibuni.
ATE YATOA ELIMU NA MSAADA WA ‘PEDI’ KWA MABINTI SHULE YA UHURU MCHANGANYIKO
DAR
-
Na Mwandishi Wetu, Dar
TAASISI ya Afya na Tumaini Endelevu (ATE) imetoa elimu ya afya ya hedhi kwa
wasichana wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko ya jij...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment