Hii ni staili mpya kuezeka Bati? hii haiwezi kutufaa wengine wa jiji hili la Dar kutokana na hali halisi ya maisha ya matamanio na kila mmoja kupenda chake kuwa chake na cha wenzake kuwa chake, nahisi nyumba hii ingekuwa maeneo ya fulani ya hapa Dar, asubuhi wenyeji wangejikuta wanaangaliana na mawingu tu. Nyumba hii imenaswa na kamera ya sufianimafoto eneo la Manzese, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini-Unguja hivi karibuni.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
4 days ago

No comments:
Post a Comment