Kocha mkuu wa Yanga ya jijini Dar es Salaam, Tanzania ametaja Kikosi kamili cha kwanza kitakachoshuka dimbani jioni hii katika mchezo wa kirafiki kati yao na Denizlispor ya Uturuki. Kama ifuatavyo:- Golini aaanza Ally Mustafa 'Bartez', Beki wa kushoto ni Jum Abdul, wa kulia ni Mbuyu Twite, No 4 na 5 ni Calvin Yondan na Nadir Haroub 'Canavaro' Viungo wa kati ni Athuman Idd 'Chuji', Simon Msuva na Nurdin Bakari, Juu ni Didier Kavumbangu, Hamis Kiiza na Haruna Niyonzima. Mungu ibariki Dar Young Africans amina.
JAB YAANZA ZIARA MIKOANI YAONYA WAAJIRI KUZINGATIA SHERIA KUEPUKA MIGOGORO
YA KISHERIA
-
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye
vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya Sheria ya Huduma...
28 minutes ago

No comments:
Post a Comment