Kocha mkuu wa Yanga ya jijini Dar es Salaam, Tanzania ametaja Kikosi kamili cha kwanza kitakachoshuka dimbani jioni hii katika mchezo wa kirafiki kati yao na Denizlispor ya Uturuki. Kama ifuatavyo:- Golini aaanza Ally Mustafa 'Bartez', Beki wa kushoto ni Jum Abdul, wa kulia ni Mbuyu Twite, No 4 na 5 ni Calvin Yondan na Nadir Haroub 'Canavaro' Viungo wa kati ni Athuman Idd 'Chuji', Simon Msuva na Nurdin Bakari, Juu ni Didier Kavumbangu, Hamis Kiiza na Haruna Niyonzima. Mungu ibariki Dar Young Africans amina.
UA YAANZISHA MITAALA YA UALIMU WA AMALI KUKABILIANA NA UKOSEFU WA AJIRA KWA
VIJANA
-
Na Farida Mangube, Morogoro
CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeanzisha mitaala mipya ya Ualimu
wa Amali kwa ajili ya walimu wa shule za seko...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment