Kocha mkuu wa Yanga ya jijini Dar es Salaam, Tanzania ametaja Kikosi kamili cha kwanza kitakachoshuka dimbani jioni hii katika mchezo wa kirafiki kati yao na Denizlispor ya Uturuki. Kama ifuatavyo:- Golini aaanza Ally Mustafa 'Bartez', Beki wa kushoto ni Jum Abdul, wa kulia ni Mbuyu Twite, No 4 na 5 ni Calvin Yondan na Nadir Haroub 'Canavaro' Viungo wa kati ni Athuman Idd 'Chuji', Simon Msuva na Nurdin Bakari, Juu ni Didier Kavumbangu, Hamis Kiiza na Haruna Niyonzima. Mungu ibariki Dar Young Africans amina.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
14 hours ago

No comments:
Post a Comment