Katibu 
wa Simba, Evodius Mtawala akimwongoza kocha mpya wa klabu hiyo, mfaransa Patrick 
Liewing, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius 
Nyerere, Dar es salaam, akitokea Ufaransa. Kocha huyo atarithi mikoba ya Milovan, aliyetimuliwa na timu hiyo mara tu baada ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, ambapo sasa kocha huyo atakuwa na kibarua kigumu kwa kuwahakikishia mashabiki wa timu ya Simba kuwa yeye ni zaidi ya Milovan na kuonyesha kile kilichowafanya viongozi wa Simba kumtimua Milovan na kumkaribisha yeye, ambapo ataanzia katika Kombo la Mapinduzi linalotarajia kuanza hivi karibuni mjini Zanzibar.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan 
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
                      -
                    
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM...
1 day ago

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment