Mwenyekiti wa asasi ya siasa ya Ulinzi na Usalama ya nchi za Jumuiya ya maendeleo ya nchi kusini mwa Afrika (SADC) Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine ambao ni wajumbe wa asasi hiyo wakati wa mkutano wa siku moja uliofanyika ikulu jijini Dar es Salaam jana.Wapili kushoto ni Rais Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini,Rais Armando Emilio Guebuza wa Msumbiji(Watatu kushoto),Rais Hifikepunye Pohamba wa Namibia(kulia) na wa kwanza kushoto ni Katibu mkuu wa SADC Dr.Tomaza Salomao(picha na Freddy Maro).
MKURUGENZI MKUU WA HALOTEL TANZANIA ATEMBELEA BANDA LA HALOTEL KATIKA
MAONESHO YA SABASABA 2026
-
Mkurugenzi Mkuu wa Halotel Tanzania, Bw. Bui Van Thang, leo ametembelea
banda la Halotel katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es
Salaam ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment